News

Music

Makala

Sokkaa

Video

» » » Gari dogo laangukiwa na lori lenye mchanga Makongo




Picha za ajali iliyotokea asubuhi ya leo huko Makongo jijini Dar es Salaam ambapo lori lililokuwa limebeba mchanga lililiangukia gari dogo.


Juhudi za Askari wa Jeshi la Wananchi wakishirikiana na kikosi cha zimamoto na uokoaji zilifanikisha kumnasua kutoka kwenye mchanga dereva wa gari dogo mendo wa 
saa moja u nusu hivi asubuhi baada ya kuwemo ndani ya gari hilo tangu saa 11 afajiri.

Dereva huyo alipelekwa hospitalini kwa uchunguzi na matibabu zaidi.










Askari wa jeshi la wananchi wakijitahidi kutoa msaada wa kumnasua dereva aliyefukiwa ndani ya gari.





Gari la kikosi cha zima moto na uokoaji likiondoka na dereva wa gari dogo baada ya kufanikiwa kumuokoa.





Picha na maelezo kutoka Wavuti.com


Mwananchi Kweli

Tunakushukuru kwa kuendelea kusoma habari zetu tunakuomba kama unapatwa na tatizo lolote hapa kwenye tovuti yetu una maoni,Habari na ushauri usisite kutuandikia kwenye info@news4timeblog.com kisha tutakujibu haraka iwezekanavyo.Hasante.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments

Leave a Reply

Select Menu