News

Music

Makala

Sokkaa

Video

» » » » » Kutoka Forbes,Haya majina 10 ya watu maarufu waliolipwa zaidi mwaka 2015.



Floyd Mayweather Jr. 
Jay Z Na mke wake Beyonce wameshindwa kukamata nafasi za juu kwenye orodha ya watu maarufu waliolipwa zaidai mwaka 2015. Jarida la Forbes limetoa watu maarufu 100 waliolipwa zaida mwaka huu. Beyonce ameshika namba #29 akiwa na pesa dola milioni $54.5 .
Hii ndio orodha ya kumi bora.

1. FLOYD MAYWEATHER: $300 MILLION
2. MANNY PACQUIAO: $160 MILLION
3. KATY PERRY: $135 MILLION
4. ONE DIRECTION: $130 MILLION
5. HOWARD STERN: $95 MILLION
6. GARTH BROOKS: $90 MILLION
7. JAMES PATTERSON: $89 MILLION
8. ROBERT DOWNEY JR.: $80 MILLION
9. TAYLOR SWIFT: $80 MILLION
10. CRISTIANO RONALDO: $79.5 MILLION




Mwananchi Kweli

Tunakushukuru kwa kuendelea kusoma habari zetu tunakuomba kama unapatwa na tatizo lolote hapa kwenye tovuti yetu una maoni,Habari na ushauri usisite kutuandikia kwenye info@news4timeblog.com kisha tutakujibu haraka iwezekanavyo.Hasante.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments

Leave a Reply

Select Menu