News

Music

Makala

Sokkaa

Video

» » » Kocha mpya wa Simba kutoka Uingereza?

Kuna tetesi kuwa kocha mpya wa klabu ya Simba anaweza
 kutokea nchini Uingereza.

Tetesi hizi za kimechezo zimedai kuwa miongoni mwa 
makocha walioafanya mazungumzo ya kushika nafasi hiyo,
 Muingereza huyo anaonekana kuwa kipenzi cha wana 
Msimbazi.

Kutokana na kuwepo na hamu kubwa ya mashabiki kutaka 
kumjua kocha wa timu hiyo, mwenyekiti wa usajili wa Simba,
 Zacharia Hans Poppe amewataka kuwa wavumilivu hadi 
pale taarifa rasmi itakapotolewa.

Kocha wa sasa Goran Kopunovic anadaiwa kutaka 
kuongezewa maslahi zaidi ambayo Simba inayaona kuwa 
makubwa mno.

Mwananchi Kweli

Tunakushukuru kwa kuendelea kusoma habari zetu tunakuomba kama unapatwa na tatizo lolote hapa kwenye tovuti yetu una maoni,Habari na ushauri usisite kutuandikia kwenye info@news4timeblog.com kisha tutakujibu haraka iwezekanavyo.Hasante.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments

Leave a Reply

Select Menu