News

Music

Makala

Sokkaa

Video

» » » Breaking>>> Ajali mbaya iliyotokea eneo la King'ori Mkoani Kilimanjaro

Ajali mbaya imetokea usiku wa Kuamkia leo  mbele ya eneo la King'ori Mwanga mkoani Kilimanjaro (Haijafahamika mara moja kuwa kuna majeruhi wa ngapi/vifo).

Inadaiwa kuwa dereva wa gari alikuwa na mpenzi wake na walikuwa wanaendelea na mambo yao hadi dereva akajisahau na kugonga jiwe lililokuwa pembezoni mwa barabara na gari kupinduka kama linavyoonekana kwenye picha.

Chanzo JF

Mwananchi Kweli

Tunakushukuru kwa kuendelea kusoma habari zetu tunakuomba kama unapatwa na tatizo lolote hapa kwenye tovuti yetu una maoni,Habari na ushauri usisite kutuandikia kwenye info@news4timeblog.com kisha tutakujibu haraka iwezekanavyo.Hasante.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments

Leave a Reply

Select Menu