News

Music

Makala

Sokkaa

Video

» » » UKAWA WATISHIA KUFANYA MAANDAMANO KUSISITIZA DAFTARI LA WAPUGA KURA



Umoja wa viongozi wa katiba ya wananchi (UKAWA) umetishia kuanzisha maandamano makubwa hadi ikulu, endapo Rais nchini na Mwenyekiti wa Tume ya kurekebisha daftari la wapiga kura, hawatafanya marekebisho kabla ya chaguzi zijazo.
Hayo yamesemwa na makatibu wakuu wa vyama vya upinzani nchini, kikiwemo chama cha CHADEMA, CUF na NCCR, ambapo wamesema watanzania milioni tano na laki nane hawana vitambulisho vya kupigia kura.
Vyama hivyo vimewataka viongozi husika, kufanya jitihada za kurekebisha daftari hilo, ili chaguzi zijazo ziwe za huru na haki
Chanzo EA.Radio

Mwananchi Kweli

Tunakushukuru kwa kuendelea kusoma habari zetu tunakuomba kama unapatwa na tatizo lolote hapa kwenye tovuti yetu una maoni,Habari na ushauri usisite kutuandikia kwenye info@news4timeblog.com kisha tutakujibu haraka iwezekanavyo.Hasante.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments

Leave a Reply

Select Menu