News

Music

Makala

Sokkaa

Video

» » Sio ulaya tu hata bongo tunapinga ubaguzi wa rangi

Moja kati ya vitu vinavyo Pamba vichwa vya habari katika mitandao na hata vyombo vya habari ni jinsi watu mashuhuri wanavyo mpa suport mchezaji wa barcelona Dany Alves aliyetupiwa ndizi uwanjani wakati wamechi kati ya Vila real na Barcelona Wameonyesha kupinga kitendo cha kibaguzi kilicho fanyika kwa kupost picha wakiwa wanakula ndizi. Pichani Zito kabwe na watanzania wengine wakimuunga beki huyo kisiki wa Barcelona.

Mwananchi Kweli

Tunakushukuru kwa kuendelea kusoma habari zetu tunakuomba kama unapatwa na tatizo lolote hapa kwenye tovuti yetu una maoni,Habari na ushauri usisite kutuandikia kwenye info@news4timeblog.com kisha tutakujibu haraka iwezekanavyo.Hasante.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments

Leave a Reply

Select Menu