Kila siku technology ina-grow kwa kasi kubwa hapa duniani kila siku vitu vipya vina zinduliwa na kuunganisha kwa njia za mitando yote.
Technology kwa sasa inazidi kupamba moto na watu wanafanya kila kinachowezekana hapa ulimwenguni ili binadamu aweze kurahisisha mambo.
Right now wataalamu wamegundua njia ingine kupitia simu ya oPhone amabayo mtu unaweza kutuma harufu ikiwa imefungwa katika tube ndani ya simu na kuweza kumtumia mtu mwingine.
Dr.David Edward,biomedical engineer wa founder of Le Laboratory ndiye mtaalamu wa programu hiyo ya kutengeza radical sensory devices ni calorie –free chocolate spray.
Na kila mwanadamu ni smell sensors Edwards akielezea simu hiyo inatarijia kutoka july mwaka huu, ndiyo inakuwa simu ya kwanza kutengenezwa ikiwa ina smell messaging.
Simu hiyo inatengezwa kwa muungano wa kampuni ya Paris parfumer Givaudan na Baristas Cafe’Countume na Dr.Edwards ametengeneza menu ya simu.
No comments