News

Music

Makala

Sokkaa

Video

» » » Picha za Ryan Giggs akiwa kama kocha zitazame hapa



Umekuwa mwanzo mzuri katika usimamizi wa klabu ya Man Utd chini ya Kocha Mchezaji Ryan Giggs baada ya kupata matokeo mazuri dhidi ya Nowrich City. Man imeshinda kwa bao 4-0 huku mabao ya Man yakifungwa na Wayne Rooney na Juan Mata .
Giggs mwenye muda mrefu uwanjani kama mchezaji wa Man Untd alipewa kazi ya kuwa Kocha mkuu baada ya kocha David Moyes kufukuzwa kazi jumanne ya wiki hii.
123456791011




Mwananchi Kweli

Tunakushukuru kwa kuendelea kusoma habari zetu tunakuomba kama unapatwa na tatizo lolote hapa kwenye tovuti yetu una maoni,Habari na ushauri usisite kutuandikia kwenye info@news4timeblog.com kisha tutakujibu haraka iwezekanavyo.Hasante.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments

Leave a Reply

Select Menu