News

Music

Makala

Sokkaa

Video

» » » Wimbo mpya wa Mafiki zolo Ft Davido sikiliza na ku download hapa


Kundi la Mafikizolo la Afrika Kusini limejigamba baada ya kushinda tuzo nane katika tuzo za Afrika Kusini zinazojulikana kama South Africa Music Awards (SAMA).
Kundi hilo linaundwa na Nhlanhla Nciza na Theo Kgosinkwe ambalo liko nchini Nigeria hivi sasa, limefanya mahojiano leo na The Beat 99.9 ya Lagos.
“Ni kama tulichukua tuzo zote kwenye SAMA.” Alijigamba Nhalanhla. “Tulichukua tuzo 8 usiku ule.”
Wasanii hao walieleza pia maana ya jina la kundi lao kuwa ni ‘New Comer’, kwa tafsiri ya Kiswahili isiyo rasmi tunaweza kusema ni watu wanaoanza katika sehemu fulani au wageni.
 Mafikizolo walitambulisha rasmi wimbo wao ‘Tchelete’ waliomshirikisha Davido. Wimbo huo umetayarishwa na wasanii watu wa Afrika Kusini ambao ni Uhuru, Oskido na Shizza.
Wameeleza kuwa ‘Tchelete’ maana yake ni good life/maisha bora.
Usikilize hapa:




Mwananchi Kweli

Tunakushukuru kwa kuendelea kusoma habari zetu tunakuomba kama unapatwa na tatizo lolote hapa kwenye tovuti yetu una maoni,Habari na ushauri usisite kutuandikia kwenye info@news4timeblog.com kisha tutakujibu haraka iwezekanavyo.Hasante.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments

Leave a Reply

Select Menu