News

Music

Makala

Sokkaa

Video

» » » Maandalizi Ya Ukumbi Itakapofanyika Kili Music Awards

Siku ya Jumamosi Mei 3 itakuwa kilele cha tuzo za Kilimanjaro Tanzania Music Awards 2014 kwa kuwatuza wasanii, vikundi, watunzi na wandaaji muziki waliofanya vizuri mwaka 2013. Haya ni maandalizi ya mwisho katika ukumbi wa Mlimani City.

Sound check ya Live Band


Mazoezi ya namna ya kulitawala jukwaa
Muonekano wa Ukumbi




Eneo litakalotumika kama Social Media Lounge


Mwananchi Kweli

Tunakushukuru kwa kuendelea kusoma habari zetu tunakuomba kama unapatwa na tatizo lolote hapa kwenye tovuti yetu una maoni,Habari na ushauri usisite kutuandikia kwenye info@news4timeblog.com kisha tutakujibu haraka iwezekanavyo.Hasante.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments

Leave a Reply

Select Menu