News

Music

Makala

Sokkaa

Video

» » » » » Exclusive: Kampuni ya Lix imegundua kalamu ya 3D inayoweza ku print vitu vya plastic


Kampuni Lix ya uingereza imegundua kalamu ya 3D inayoweza kutumika hata bila ya kutumia karatasi. Kalamu hiyo ina ukubwa na saiz kama ya kalamu za kawaida lakini utofauti wake ni kuwa unaweza kui plug kwa kutumia Usb cable kwenye Laptop au Tablet yoyote ile na kuprint kitu unachokitaka. Baada ya hapo unaweza kuweka strip ya plastik kwenye kalam hiyo na kuchora hata kwenye hewa,Strip ya plastiki huwekwa ndani ya kalam hiyo na kuna batan maalum inayotumika kui sukuma nje kwa ajili ya ku chora na inatoka kama wino.Kifaa(kalamu)hiyo itauzwa kuanzia mwezi september 2014 na itakuwa ikipatikana kwa bei ya £85 ($139.95) kwa hela ya bongo itakuwa kama Tsh. 224,595 tu.
Maelezo mengine bofya hapa

Lix's product is the first 3D printing device that resembles the size, shape and weight of a regular ballpoint pen. It will go on sale in September 2014 for £85 ($139.95) and will be available in black and grey






Video iko hapo chini



Mwananchi Kweli

Tunakushukuru kwa kuendelea kusoma habari zetu tunakuomba kama unapatwa na tatizo lolote hapa kwenye tovuti yetu una maoni,Habari na ushauri usisite kutuandikia kwenye info@news4timeblog.com kisha tutakujibu haraka iwezekanavyo.Hasante.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments

Leave a Reply

Select Menu