News

Music

Makala

Sokkaa

Video

» » » Wauza magazeti wakumbwa na bomoa bomoa jijini Dar es Salaam

001

Wananchi wakimuangalia mgambo wa Manispaa ya Ilala wakati akichukua magazeti katika moja ya meza Posta mpya jijini Dar es Salaam Aprili 3, 2014 Mkoa wa Dar es Salaam upo katika operesheni kabambe ya kusafisha jiji hilo kwa kuwaondoa wafanyabiashara wanaofanya biashara ndogo ndogo maeneo yasioruhusiwa wilaya zake zote za Ilala, Temeke na Kinondoni.
002
Mgambo wa Manispaa ya Ilala akiwa amebeba magazeti.
003
Mgambo wa Manispaa ya Ilala akiwa amebeba magazeti wakivunja moja ya toroli la Kampuni ya TSN katika operesheni safisha jiji maeneo ya Posta mpya Dar es Salaam. Operesheni hiyo inafanyika mkoa wa Dar es Salaam kwa kuzihusisha wilaya zake zote za Ilala, Temeke na Kinondoni.
004
Mgambo wakiondoa kibanda cha Kampuni ya Simu Tigo.
005
Askari wa Kikosi cha Kutuliza Ghasia (FFU), wakiimarisha ulinzi wakati wa oparesheni hiyo.
006
Eneo la Posta Mpya.
TUKIO LINGINE
0008
Wafanya biashara wa Sitendi ya Daladala Mwenge jijini Dar es Salaam wakiwa hawana lakufanya wakiangalia zoezi la bomoa bomoa likiendelea.
0009
 Askari wa Kikosi cha Kutuliza Ghasia (FFU), wakiimarisha ulinzi wakati wa oparesheni hiyo.
00010
Mgambo akiondoa moja ya toroli eneo la Mwenge.
00011
Askari wa Kikosi cha Kutuliza Ghasia (FFU), wakiwa kwenye doria.
00012
Askari wa Kikosi cha Kutuliza Ghasia (FFU), wakiwazibiti wafanya biashara eneo la Mwenge jijini Dar es Salaam.(PICHA ZOTE NA PHILEMON SOLOMON WA FULLSHANGWE DAR ES SALAAM)

Mwananchi Kweli

Tunakushukuru kwa kuendelea kusoma habari zetu tunakuomba kama unapatwa na tatizo lolote hapa kwenye tovuti yetu una maoni,Habari na ushauri usisite kutuandikia kwenye info@news4timeblog.com kisha tutakujibu haraka iwezekanavyo.Hasante.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments

Leave a Reply

Select Menu