Cristiano Ronaldo na Sergio Ramos jana usiku wameiwezesha klabu ya Real Madrid kutinga kwenye fainali ya UEFA Champions League baada ya kipindi cha miaka 12 – baada ya Real Madrid kuifunga Bayern Munich 4-0 kwenye mchezo wa pili wa nusu fainali uliopigwa kwenye uwanja wa Allianz Arena. Angalia video ya magoli hapo chini…..
News
Music
Makala
Sokkaa
Video
Mwananchi Kweli
Tunakushukuru kwa kuendelea kusoma habari zetu tunakuomba kama unapatwa na tatizo lolote hapa kwenye tovuti yetu una maoni,Habari na ushauri usisite kutuandikia kwenye info@news4timeblog.com kisha tutakujibu haraka iwezekanavyo.Hasante.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments