News

Music

Makala

Sokkaa

Video

» » » Video ya mabao yote ya mchezo wa Real Madrid vs Bayern iko hapa


Cristiano Ronaldo na Sergio Ramos jana usiku wameiwezesha klabu ya Real Madrid kutinga kwenye fainali ya UEFA Champions League baada ya kipindi cha miaka 12 – baada ya Real Madrid kuifunga Bayern Munich 4-0 kwenye mchezo wa pili wa nusu fainali uliopigwa kwenye uwanja wa Allianz Arena. Angalia video ya magoli hapo chini…..


Mwananchi Kweli

Tunakushukuru kwa kuendelea kusoma habari zetu tunakuomba kama unapatwa na tatizo lolote hapa kwenye tovuti yetu una maoni,Habari na ushauri usisite kutuandikia kwenye info@news4timeblog.com kisha tutakujibu haraka iwezekanavyo.Hasante.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments

Leave a Reply

Select Menu