News

Music

Makala

Sokkaa

Video

» » » » Video&Picha: Hii ndio gari ya kwanza yenye uwezo wa kujiosha yenyewe.



Kampuni kubwa ya kutengeneza magari ya Nisan imebuni gari ambalo linaweza kujisafisha lenyewe pindi linapochafuka. Teknolojia hiyo ime thibitishwa na wahandisi wa magari wa uingereza nakusibitisha ufanyaji kazi wa gari hilo. Hii itasaidia mtumiaji pindi anapomaliza kulitumia hana haja ya kulipeleka au kuliosha badalayake kuna batan anayoweza kuitumia kulisafishia gari lake. Hili na gari la kwanza ambalo linaweza kujisafisha lenyewe kutokea. Video iko hapo chini.



Nissan says it is the first to apply the trade-marked technology called Ultra-Ever Dry on automotive bodywork



Mwananchi Kweli

Tunakushukuru kwa kuendelea kusoma habari zetu tunakuomba kama unapatwa na tatizo lolote hapa kwenye tovuti yetu una maoni,Habari na ushauri usisite kutuandikia kwenye info@news4timeblog.com kisha tutakujibu haraka iwezekanavyo.Hasante.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments

Leave a Reply

Select Menu