News

Music

Makala

Sokkaa

Video

» » Samsung yajibu mapigo kwa Google inategemea kutoa Galaxy Glass mwaka huu


Kampuni ya Samsung inategemea kuzindua miwani yake ya GalaxyGlas september mwaka huu. Galaxy Glass itakuwa ikifanya kazi sawa na smart phone za sumsang ikiwa ni pamoja na kupokea taarifa akiwa ameivaa kutoka kwenye sim kama msg,simu au barua pepe. 


Samsung Galaxy Glass

Msemaji wa Samsung alikaririrwa akisema ''mahitaji ya Smart(Galaxy)Glas ni makubwa kutokana na maoni ya wateja wetu'' Galaxy Glasy itakuwa ndo mshindani wa kwanza wa Google Glasy ambayo iko sokoni mpaka sasa.


Mwananchi Kweli

Tunakushukuru kwa kuendelea kusoma habari zetu tunakuomba kama unapatwa na tatizo lolote hapa kwenye tovuti yetu una maoni,Habari na ushauri usisite kutuandikia kwenye info@news4timeblog.com kisha tutakujibu haraka iwezekanavyo.Hasante.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments

Leave a Reply

Select Menu