
Picha ikionyesha daraja la Bunju-Bagamoyo lililokatika kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha. Hii itasababisha Mawasiliano kwa njia ya barabara kati ya Dar na Bagamoyo kuwa madogo.

Picha na (Hamis Hamza n4t)
Posted by: Mwananchi Kweli Posted date: 4/12/2014 10:10:00 AM / comment : 0
Tagged with: HABARI
No comments