News

Music

Makala

Sokkaa

Video

» » » » Odama ajifungua mtoto wa kiume, aandika ujumbe kwa mashabiki wake


Muigizaji wa kike, Odama ambaye kwa muda mrefu alikuwa kimya bila kuweka wazi nini kilikuwa kinaendelea kwa upande wake, amewataarifu mashabiki wake kuwa amejifungua mtoto wa kiume.
“Ni kweli nilikua mja mzito na mpaka sasa tayari nimejifungua mtoto wa kiume, namshukuru sana Mungu na mashabiki zangu wote kwa ushirikiano wenu tangu mwanzo mpaka sasa…nawapenda sana.”Ameandika kwenye ukurasa wake wa Facebook.


Mwananchi Kweli

Tunakushukuru kwa kuendelea kusoma habari zetu tunakuomba kama unapatwa na tatizo lolote hapa kwenye tovuti yetu una maoni,Habari na ushauri usisite kutuandikia kwenye info@news4timeblog.com kisha tutakujibu haraka iwezekanavyo.Hasante.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments

Leave a Reply

Select Menu