News

Music

Makala

Sokkaa

Video

» » » MAJAMBAZI WAVAMIA GARI NA KUMWAGA DAMU KINONDONI



Habari zinazoambatana na picha hii zinasema ni ujambazi uliofanywa kwa kutumia risasi kutoka kwenye gari moja na kisha kupofa kiasi cha fedha ambacho bado hakijajulikana, kutoka kwenye gari jingine linaloelezwa kuwa lilikuwa na raia wa Kigeni, katika eneo la Morocco, Kinondoni jijini Dar es Salaam, jioni ya leo.

wavuti






Mwananchi Kweli

Tunakushukuru kwa kuendelea kusoma habari zetu tunakuomba kama unapatwa na tatizo lolote hapa kwenye tovuti yetu una maoni,Habari na ushauri usisite kutuandikia kwenye info@news4timeblog.com kisha tutakujibu haraka iwezekanavyo.Hasante.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments

Leave a Reply

Select Menu