News

Music

Makala

Sokkaa

Video

» » » » » Hii ndiyo police parking ya Dubai si ajabu kukuta gari kama Lamborghini, Aston Martin, Bentley na Ferrari zikiwa zimepak

Hii ni McLaren MP4-12C inayotumika katika patrol za kila siku za Pilice kwa ajili ya usalama Gharama yake inakadiriwa kuwa zaidi ya £170,000.

Na Hadison lymo. N4T.
Hii unaweza usiamini lakini ndio hali halisi kwa wenzetu ni kawaida sana kumkuta police wa Dubai ndani ya Super cars kama Lamborgin,Maclaren,Audit,Aston martin kutokana na serikali yao kuwajali sana watumishi wao hasa katika mambo nyeti kama ulinzi. Hiii nafikiri sio kwa kila nchi inaweza kufanya mambo kama haya ila nikutokana na utajiri pia ulizo nazo nchi za uarabuni. Hii inasababisha hata police wao kuipenda kazi na kuwa wanaomba hata ikiwezekana kila siku wawe zamu...''kwani kuna mtu asiyependa kuendesha gari la kifahari kama lamborgin au Astornmartin'' Jibu kila mtu anatamani ... Hii pia imekuwa ajabu kwani hata kwa raia wa kawaida wamekuwa wakifanya matamakosa madogo ru ilimradi wapate kupakia Lamborgin ya police!!! Hebu zitazame picha hapo chini uone magari ya Police  wanayo endesha Dubai..

huka chini kutazama Video

Luxury: The £170,000, custom-made supercar won 'Car Of The Year' at the Middle East Motor Awards this year. It can reach 207mph, weighs the same as a small Citroen, and has triple the power of a British police patrol car

Try getting away from this: One of the Dubai police force's super vehicles, a £1.6million Aston Martin One-77
Hii ina kadiriwa kuwa na thamani zaidi ya£1.6million    Aston Martin One-77
Raw power: The Ferrari FF, right, and Lamborghini Aventador, left, outside one of Dubai's police stations
Ferrari FF, Kulia, na Lamborghini Aventador, upande wa kushoto

Arrest me: Speeders have asked to be detained in the new cars, including this Bentley Continental

Bentley Continental
Supercar: This year, Dubai Police added a white and green £294,665 Lamborghini Aventador to their patrol fleet

Lamborghini Aventador ina thamani ya £294,665

Purpose: Cars like this Mercedes SLS Gullwing could help bring down the number of road deaths
Mercedes SLS Gullwing

Action: The cars were brought in to clamp down on speeding, with one person killed in a crash every 26 hours




Je? Kwa tanzania inawezekana? na kama wakipewa police wetu Hutatamani hata kuomba lift au hata kufanya kakosa kadogo tu walau upande super car hata maramoja? Maoni yako hapo chini 

Mwananchi Kweli

Tunakushukuru kwa kuendelea kusoma habari zetu tunakuomba kama unapatwa na tatizo lolote hapa kwenye tovuti yetu una maoni,Habari na ushauri usisite kutuandikia kwenye info@news4timeblog.com kisha tutakujibu haraka iwezekanavyo.Hasante.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments

Leave a Reply

Select Menu