News

Music

Makala

Sokkaa

Video

» » Chelsea yakaribia kufunga mapatano ya €42.5m kumsajili Diego Costa



The Blues walimkuta mshambulizi Diego Costa wa Atletico Madrid na wako karibu matimiza maafikiano ya kumleta nyota huyo katika Stamford Bridge katika majira ya kiangazi.
Chelsea wako karibu kumaliza mapatano ya milioni £42.5 kumsajili mashambulizi wa Atletico Madrid Diego Costa.
Wawakilishi wa Chelsea walifanya vikao na Costa mwezi upitao na mazungumzo ya ziada yataendelea wakati timu hizi zitakapokuwa zikicheza mechi ya mkondo wa kwanza wa nusu fainali ya Ligi ya Mabingwa.
Chelsea wamedhihirisha katika majadiliano kuwa wanataka kulipa £42.5m kwa mshambulizi huyo, ilhali sehemu hiyo ya ada ya uhamisho ni pamoja na ada ya mawakala.
Mabingwa wa Europa League pia wanajitayarisha kuzidisha mara tatu mshahara wake Costa, ambaye alikuwa akipata takriban £61,000 kwa wiki akiwa katika Estadio Vicente Calderon.
Chelsea wahitaji kumaliza mpango huo kabla ya mwisho wa msimu na kabla ya Costa kuondoka kwa Kombe la Dunia, ambapo yatarajiwa kuwa mmoja mwa kikosi cha timu ya Hispania kujaribu kutetea taji lao la 2010.
kocha wa Atletico Diego Simeone alidhihirisha wazi Jumanne kuwa Costa ataondoka akisema kuwa timu yake hawana uwezo wa kumzuia kusajiliwa katika klabu ya Chelsea yenye uwezo wa kiuchumi.
“Nitategemea Costa na anachofikiri kuwa bora kwa ujao wake,” Simeone aliambia AS. “Nitaunga mkono uamuzi wowote atakaopata. Ni kawaida kuwa Chelsea inamhitaji. Hayo yanifurahisha kwa sababu lengo langu na kamati yangu ni kuona wachezaji wetu wakijiendeleza.”
“Tunafahamu kuwa Chelsea inakuwa na nguvu kubwa za hera, kama anataka kuwa mbali ya soka kwa ajili ya starehe za maisha yake, sitakuwa na tatizo kwa kuondoka kwake. Ni kama Radamel Falcao, namna gani nigeliweza kumwambia kutokwenda katika Monaco?”
“Samuel Eto’o anaingilia ukubwa na kuzeeka na Diego Costa anapaswa kufanya kazi yake pale, lakini kwa sasa, ni wetu.”


Mwananchi Kweli

Tunakushukuru kwa kuendelea kusoma habari zetu tunakuomba kama unapatwa na tatizo lolote hapa kwenye tovuti yetu una maoni,Habari na ushauri usisite kutuandikia kwenye info@news4timeblog.com kisha tutakujibu haraka iwezekanavyo.Hasante.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments

Leave a Reply

Select Menu