News

Music

Makala

Sokkaa

Video

» » BREAKING NEWS!!!!!! Muhidin Maalim Gurumo Afariki Dunia.



Mkongwe wa Muziki wa Dansi, Muhidin Gurumo (aliyekuwa Msondo Ngoma kabla ya kustaafu mziki) amefariki dunia akiwa Muhimbili alipokuwa amelazwa!

News4timeblog inawapa pole Familia ya Ngurumo ''Bwana ametoa Na bwana ametwaa jina lake lihimidiwe''



Mwananchi Kweli

Tunakushukuru kwa kuendelea kusoma habari zetu tunakuomba kama unapatwa na tatizo lolote hapa kwenye tovuti yetu una maoni,Habari na ushauri usisite kutuandikia kwenye info@news4timeblog.com kisha tutakujibu haraka iwezekanavyo.Hasante.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments

Leave a Reply

Select Menu