News

Music

Makala

Sokkaa

Video

» » » Baada ya story iliyo pamba vichwa vya habari Duniani Dan Alves aliporushiwa ndizi wakati akipiga mpira wa kona, Hawa ndio wachezaji Wengine walio muunga mkono kawa yeye kuichukua ile ndizi na ku ila


Hii ilitokea siku ya jumapili kwenye mechi kati ya Barcelona Vs Villareal ambayo Barcelona ilishinda kwa magoli 3-2. Mkasa huo ulitokea wakati mchezaji wa Barcelona Dany Alves alipokuwa ana piga kona ndipo mashabiki wa Villareal walipo mrushia ndizi na kwakuonyesha kuwa mchezaji huyo hakujali kabla yakupiga ile kona aliichukua ile ndizi nakuimenya kisha akaila nusu na kipande kingine akikirusha pembeni ya uwanja.
Alipohojiwa alisema '' Naona kawaida kwani nimeishi hapa Hispania kwa zaidi ya miaka 10 ni vitu kama hivi vimekuwa vikifanywa hata kwa wachezaji wenzangu na mimi naamini wote ni Nyani'' alisema alves.

Dany Alves mwenye umri wa miaka 30, alijiunga na club ya Barcelona Mwaka 2008 kwa ada ya kitita cha paundi 23m. Amekuwa akipinga vitendo vya kibaguzi kwa mashabiki wa Hispania kwa muda mrefu jambo ambalo hata Fifa wamekuwa wakilipinga kwani kumekuwa na ubaguzi wa watu wenye asili ya Africa wanapokuwa wakicheza katika ligi hiyo.

Baada ya Alves kufanya kitendo hicho wamejitokeza wacezaji wengine kumuunga mkono kwa kupinga ubaguzi nakusibitisha kuwa wote ni nyani kwa kupost picha kwenye mitandao ya kijamii wakila ndizi. wachezajio hao ni kama Sergio Aguero, David Luiz, Oscar, Willian, Nacer Chadli and Moussa Dembele 

Hapo chini ni picha walizo post

Countrymen: Chelsea's Brazilian stars Oscar, David Luiz and Willian had their say on the incident

Star wa Chelsea Oscar,David Luiz na William kwapamoja wakimuunga mkono.

Banana skin: NeymarBiting back: Alves' girlfriend Thaissa Carvalho (centre( posted a picture of her and others eating bananas with the hashtag #saynotoracism

Kulia ni kinda wa Brazili na Barcelona na kulia mchumba wake  Dany Alves wote walipost picha zao kwenye mtandao wa Instagram wakionyesha Suport kwa Alves.

Full support: Sergio Aguero and Marta show their solidarity for Alves by eating bananas
Sergio Aguero na Marta
Campaign: Television presenter Marilo Montero also joined in the backing for Alves
Television presenter Marilo Montero
Getting stuck in: Tottenham's Mousa Dembele and Nacer Chadli in the Tottenham canteen
Wachezaji wa Totenham Mousa Dembele na Nacer Chadli
We're all the same: Philippe Coutinho and Luis Suarez show their support for Alves with the banana protest
Philippe Coutinho na  Luis Suarez
Feeling peckish: The Brazil international decides to tuck in to the banana
Wakati akila ndizi iliyorushwa
Feeling peckish: The Brazil international decides to tuck in to the banana

Unity: Alves hugs team-mate Javier Mascherano following the emotionally-charged game

Macherano akimkumbatia Alves kuonyesha umoja

Hapo chini ni Video ya tukio



Mwananchi Kweli

Tunakushukuru kwa kuendelea kusoma habari zetu tunakuomba kama unapatwa na tatizo lolote hapa kwenye tovuti yetu una maoni,Habari na ushauri usisite kutuandikia kwenye info@news4timeblog.com kisha tutakujibu haraka iwezekanavyo.Hasante.
«
Next
Job opportunities for Tutorial Assistants at SUA
»
Previous
9 Amazing Benefits of Coffee

No comments

Leave a Reply

Select Menu