News

Music

Makala

Sokkaa

Video

» » ARSENAL YATINGA FAINALI FA MATOKEO YAKO HAPA



Arsenal‬ yatinga fainali ya Kombe la FA kwa kuichapa Wigan‬ 4-2 kwa mikwaju ya penati. Dakika 90 za mwanzo ziliisha kwa magoli 1-1 ambapo wigan ndio walitangulia kufunga kwa penalt na kipindi cha pili Arsenal walisawazisha. Ziliongezwa dakika 30 ambapo hakuna timu iliyopata goli hadi zina isha.



Mwananchi Kweli

Tunakushukuru kwa kuendelea kusoma habari zetu tunakuomba kama unapatwa na tatizo lolote hapa kwenye tovuti yetu una maoni,Habari na ushauri usisite kutuandikia kwenye info@news4timeblog.com kisha tutakujibu haraka iwezekanavyo.Hasante.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments

Leave a Reply

Select Menu